[pdf-embedder url=”http://nchibora.com/wp-content/uploads/2026/04/sw-1776330257-Hotuba-ya-Bajeti-2026_27-Kitabu-Final-13-APRILI-2026.pdf” title=”sw-1776330257-Hotuba ya Bajeti 2026_27-Kitabu Final 13 APRILI 2026″]
Habari
[pdf-embedder url=”http://nchibora.com/wp-content/uploads/2026/04/Hotuba-ya-Bajeti-ya-Ofisi-ya-Rais-Utumishi-na-Utawala-Bora-kwa-2026-2027.pdf” title=”Hotuba ya Bajeti ya Ofisi ya Rais (Utumishi na Utawala Bora) kwa 2026-2027″]
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ametunukiwa tuzo maalum ya Ubinadamu ya Upasuaji wa Ubongo kutokana na mchango wake mkubwa katika kuimarisha sekta ya afya nchini.
Tuzo hiyo imetolewa leo na Rais wa Chama cha Madaktari wa Upasuaji wa Ubongo, Mgongo na Mishipa ya Fahamu Tanzania, Dkt. Othman W. Kiloloma katika Mkutano wa Pili wa Kimataifa wa Shirikisho la Jumuiya ya Madaktari wa Upasuaji wa Ubongo, Mgongo na Mishipa ya Fahamu (WFNS) alioufungua jijini Dar es Salaam.
“Kwa niaba ya chama cha wataalam wa upasuaji wa ubongo na mgongo tunakutambua na kukushukuru kwa mchango wako mkubwa wa ubinadamu, ni heshima yangu kubwa kukukabidhi tuzo ya ubinadamu ya upasuaji wa ubongo, hongera sana,” amesema Dkt. Kiloloma.
Amesema kuwa, kupitia uwekezaji uliowekwa na Serikali ya awamu ya sita katika huduma za kibingwa na ubingwa bobezi, ujenzi wa rasilimali watu na uimarishaji wa huduma za vipimo, dharura na bima ya afya kwa wote umeokoa maisha na matumaini ya maisha ambayo wengine hawakuwa nayo.
Akizungumza Rais Samia amesema katika miaka mitano iliyopita kazi kubwa iliyofanyika imeleta matokeo ambapo hospitali zinazofanya upasuaji wa kibingwa wa ubongo, mgongo na mishipa ya fahamu zimeongezeka kutoka 2 hadi 7, madaktari bingwa wa upasuaji wa ubongo, mgongo na mishipa ya fahamu wameongezeka kutoka 12 hadi 37, na serikali imeongeza kwa kiasi kikubwa vifaa muhimu kama MRI, CT-Scan na X-ray.
Aidha, amesema tuzo huyo ni heshima kwa Watanzania wote na ameahidi kuwa serikali itaendelea kushirikiana na taasisi za kikanda na kimataifa kuimarisha huduma za afya kwa kuzifanya kuwa bora, nafuu na za uhakika ili kuokoa maisha ya wananchi na kurejesha tumaini kwa jamii.
Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge 2026/27
[pdf-embedder url=”http://nchibora.com/wp-content/uploads/2026/04/sw-1775038499-01.04.2026-HOTUBA-YA-BAJETI-YA-OFISI-YA-WAZIRI-MKUU-KWA-MWAKA-2026-2027.pdf” title=”sw-1775038499-01.04.2026 HOTUBA YA BAJETI YA OFISI YA WAZIRI MKUU KWA MWAKA 2026-2027″]
Chwakwera delivers Commonwealth’s message to Samia as envoy concludes working visit
Dar es Salaam: President Samia Suluhu Hassan, on Wednesday, April 15, 2026, received a special message from the Secretary General of the Commonwealth of Nations, Shirley Ayorkor Botchwey, delivered by the organisation’s Special Envoy and former Malawi President, Lazarus McCarthy Chakwera, at State House in Dar es Salaam.
The message outlined priority areas under the Commonwealth’s engagement with Tanzania, including transparency and cooperation in assessing developments during and after the 2025 General Election.
The statement said the engagement also focuses on enhancing political participation, advancing inter-party dialogue and strengthening institutional accountability.
In the message, Ms Botchwey reaffirmed the Commonwealth’s commitment to continued engagement with Tanzania to reinforce democratic governance, the rule of law and national reconciliation following developments surrounding the October 2025 polls.
“She noted that the Commonwealth supports ongoing efforts in the country and stands ready to assist in fostering a stable, inclusive and credible political environment through dialogue and institutional reforms,” the statement said.
During the meeting, President Hassan said Tanzania is addressing the situation through its national institutions, citing measures undertaken by the government, including the establishment of an independent Commission of Inquiry aimed at restoring stability and enhancing accountability.
She said the findings of the commission will inform subsequent actions, including accountability processes, reconciliation efforts and institutional reforms, while the government continues to facilitate dialogue through legally established platforms and broader stakeholder engagement.
For his part, Dr Chakwera reiterated the Commonwealth’s readiness to work with Tanzania in advancing the rule of law, political cooperation and national cohesion.
Dr Chakwera concluded his working visit to Tanzania in his capacity as Special Envoy of the Commonwealth Secretary-General to assess the political environment and reconciliation efforts, during which he held consultations with a range of political and institutional stakeholders.

.jpeg)
.jpeg)
Tanzania remains resilient amid global oil shock as government safeguards economy
Dar es Salaam: Tanzania is demonstrating strong economic resilience despite rising global oil tensions linked to instability in the Middle East, with the government taking strategic measures to cushion citizens from severe shocks. While fuel prices have recently increased to above Sh3,800 per litre, authorities maintain that the country remains well-positioned to withstand the pressure.
The government’s proactive planning, including maintaining strategic fuel reserves and ensuring steady supply chains, has helped stabilise the situation in the short term. Officials emphasise that the price adjustments reflect global market dynamics rather than domestic shortages, underscoring Tanzania’s continued energy security.
Experts note that Tanzania’s unique energy structure provides a natural buffer. With over 85 percent of energy consumption derived from biomass and minimal reliance on oil for electricity generation, the country is less exposed to global oil disruptions compared to more industrialised economies.
In addition, Tanzania’s economy remains largely insulated due to its modest dependence on heavy manufacturing. Most industries rely minimally on fuel, while localised supply chains for food and essential goods help contain the impact of rising transport costs.
The government’s continued commitment to monetary discipline has also played a key role, with inflation remaining below 5 percent for over a decade. This stability provides confidence that current price pressures will be managed without triggering broader economic instability.
With ongoing diplomatic efforts globally expected to ease tensions, Tanzania is projected to navigate the current crisis without major disruption, reinforcing confidence in the country’s economic management and long-term resilience.
Dar es Salaam: Air Tanzania Company Limited (ATCL) has expressed strong confidence in its path to financial stability, projecting a break-even point by 2027 as ongoing reforms, rising revenues and improved operational efficiency continue to reshape the national carrier.
Speaking in an interview, ATCL Managing Director and CEO, Peter Ulanga, said the airline has entered a new phase of recovery, with clear indicators that its turnaround strategy is gaining momentum. “We are reviewing our projections, but most likely we do not expect to go beyond 2027 without breaking even,” he noted.
The airline’s optimism is backed by a significant surge in revenues, which increased by over Sh143 billion between the 2023/24 and 2024/25 financial years, with further growth of more than Sh200 billion projected this year. This steady upward trajectory reflects the success of reforms implemented under the government’s strategic revival plan.
Operational efficiency has also improved markedly, particularly in flight reliability. ATCL has recorded minimal cancellations and now achieves about 90 per cent on-time departures within 30 minutes, a move that has strengthened customer confidence and service delivery.
A key driver of growth has been the airline’s expansion into international routes and cargo services. Strong demand on routes such as China and Mumbai, alongside the introduction of charter cargo operations, has boosted revenues and shifted the airline toward more profitable markets.
With continued government support, strategic investments and expanding global connectivity, ATCL is positioning itself as a competitive regional carrier and a future Pan-African aviation player, contributing significantly to Tanzania’s economic growth and international presence.
Tanzania imetajwa kuwa na mafanikio makubwa katika kuboresha maisha ya wakulima wadogo wa kahawa.
Hilo limebainishwa na Umoja wa Wadau wa zao la Kahawa Duniani (ICP) wakati ukitimiza miaka 25 tangu kuanzishwa kwake, ambapo umeangazia mafanikio katika kuboresha maisha ya wakulima hao wadogo wa kahawa duniani.
Kwa mujibu wa Morgan Mkonyi, Meneja Mwenza wa Shirika la Hanns R. Neumann Stiftung (HRNS) Tanzania, mafanikio ya ICP yanaonekana moja kwa moja katika maisha ya wakulima wa kahawa nchini.
“Kwa Tanzania, miaka 25 ya ICP si tu kumbukumbu ya mafanikio, bali ni ushahidi wa mabadiliko halisi katika maisha ya wakulima wadogo. Kupitia mafunzo, ushirikiano na uwekezaji wa muda mrefu, wakulima wameongeza uzalishaji, wameimarisha ustahimilivu dhidi ya mabadiliko ya tabianchi, na wameboresha maisha yao kwa ujumla,” amesema Mkonyi.
Ameongeza maadhimisho hayo pia ni fursa ya kuendeleza dhamira ya kuwawezesha vijana kuingia na kunufaika na sekta ya mnyororo wa kahawa.
Tofauti na miradi mingi ya kilimo inayolenga uzalishaji pekee, ICP imekuwa ikitekeleza mkakati wa jumla unaojumuisha nyanja mbalimbali za maisha ya mkulima.
Mbinu hiyo inahusisha maendeleo ya biashara za familia, uimarishaji wa vikundi vya wakulima, usawa wa kijinsia, ushiriki wa vijana, pamoja na mbinu za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi.
Tangu kuanzishwa kwake, zaidi ya familia 125,700 za wakulima katika nchi 13 zinazozalisha kahawa zimefikiwa na miradi ya ICP.
Wakulima wamewezeshwa kutumia mbinu bora za kilimo, pamoja na kupanua shughuli zao kwa kulima mazao mengine ili kuongeza usalama wa chakula na kipato cha ziada.
Aidha, ICP imechangia kuanzishwa na kuimarishwa kwa zaidi ya vyama na ushirika wa wakulima 2,700, hatua iliyowawezesha kupata huduma muhimu na soko lenye ushindani.
Aidha, katika juhudi za kuhakikisha ushirikishwaji, ICP imeweka mkazo katika kuwawezesha wanawake na vijana kushiriki kikamilifu katika uamuzi.
Takwimu za mwaka 2025 zinaonesha asilimia 45 ya washiriki wa mafunzo walikuwa wanawake, huku asilimia 22 wakiwa vijana wenye umri wa kati ya miaka 18 hadi 35.
Kwa mujibu wa Rui Miguel Nabeiro, Mwenyekiti wa kamati ya uongozi ya ICP, ushirikiano huo umefanikiwa kwa sababu ya kuunganisha maarifa, rasilimali na uzoefu kwa lengo la pamoja la kuboresha maisha ya wakulima.
Katika kipindi cha miaka 25, wanahisa sita wa ICP wamewekeza Euro milioni 25 katika shughuli za ICP, na kuvutia rasilimali za ziada kutoka mashirika ya wafadhili na washirika wengine ili kuendeleza suluhisho zenye ufanisi zinazoleta mabadiliko ya kweli na yenye tija katika sekta ya kahawa.
Hata hivyo, licha ya mafanikio hayo, sekta ya kahawa bado inakabiliwa na changamoto mbalimbali, zikiwemo mabadiliko ya tabianchi, kupanda kwa gharama za uzalishaji, pamoja na kupungua kwa misaada ya kimataifa katika baadhi ya nchi.
Kutokana na hali hiyo, ICP imeeleza itaendelea kushikilia mkakati wake wa muda mrefu wa uwekezaji na ushirikiano, ili kuhakikisha mabadiliko endelevu katika sekta ya kahawa yanaendelea kupatikana.
Kwa ujumla, mafanikio ya ICP ndani ya miaka 25 yanaifanya Tanzania kuwa mfano hai wa namna ushirikiano wa kimataifa unavyoweza kuleta mabadiliko chanya katika sekta ya kilimo na maisha ya jamii za wakulima.



