Nchi Bora
  • FursaHistoria

    Uwanja wa Ndege wa Msalato: Mradi Unaobadili Maisha ya Wakazi wa Dodoma

    by Joshua Kiziba July 18, 2026
    July 18, 2026

    Ule msemo wa Kiswahili unaosema “Mgeni njoo, mwenyeji apone” unaendelea kupata uhalisia kupitia ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Msalato, mradi mkubwa unaotekelezwa na Serikali jijini Dodoma. Mbali …

    Read more
  • Habari

    Mahusiano kati ya Misri na Tanzania: Uhusiano wa Kihistoria Imara na Ushirikiano wa Kijumla

    by Joshua Kiziba July 18, 2026
    July 18, 2026

    Sasa, tunapokabiliwa na hatua muhimu katika mageuzi ya diplomasia ya kimataifa na maendeleo ya uwakilishi wa kidiplomasia duniani kote huku migogoro ya kijeshi ikiendelea, serikali ya Misri inatilia mkazo mkubwa …

    Read more
  • Habari

    Tanzania na Misri: Urafiki wa kihistoria unaogeukia uwekezaji na maendeleo

    by Joshua Kiziba July 18, 2026
    July 18, 2026

    Ziara ya Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri, Abdel Fattah El-Sisi, nchini Tanzania kuanzia Julai 18, 2026, inafungua ukurasa mpya katika uhusiano wa mataifa mawili ambayo yameendelea kushirikiana kwa …

    Read more
  • Habari

    Rais wa Misri kufanya ziara ya kitaifa Tanzania

    by Joshua Kiziba July 17, 2026
    July 17, 2026

    Kufuatia mwaliko wa Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Abdel Fattah El-Sisi, Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri, atafanya Ziara ya Kitaifa …

    Read more
  • Habari

    Rekodi mpya UDSM soko la ajira duniani

    by Joshua Kiziba July 16, 2026
    July 16, 2026

    Dar es Salaam: Wakati Tanzania ikiendelea na jitihada za kuboresha ubora wa elimu ya juu, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimeweka rekodi mpya baada ya kuibuka kinara Afrika …

    Read more
Newer Posts
Older Posts

Address

Plot 64, Lugalo Street - Dar es Salaam

E-mail

info@nchibora.com

Phone Number

+255 764 359 101

Back To Top
Nchi Bora